Mamlaka ya soko LA mitaji na hisa kTanzania CEO wamehitimisha mashindano waliyo shindanisha wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali katika chemsha bongo na isha kwa kutumia ujimbe mfupi wa simu SMS kupitiaitandao lengo likiwa ni kuwapatia ufahamu masuala ya mitaji dhamsna na uuzaji hisa. Jumla ya wanafunzi walioshiriki ni 7 501 na waliofanikiwa katika fainali ni 80 kabla ya kupata washindi wa kwanza katika kila idara na hatimaye kupatikana 12 watakao kwenda afrika kusini kujifunza zaidi suala LA soko LA mitaji na hisa ili waweze kuwa mabalozi bora nchini. Hats hivyo serikali imewataka watanzania kutoa taarifa za wafanyabiashara nchini wanaotumia dola katika kuuza bidhaa zao ili kudhibiti sarafu ya Tanzania kushuka thamani
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni