Soko la mitaji na hisa tanzania

Mamlaka ya soko LA mitaji na hisa  kTanzania CEO wamehitimisha mashindano  waliyo shindanisha wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali katika chemsha bongo na isha kwa kutumia ujimbe mfupi wa simu SMS kupitiaitandao lengo likiwa ni kuwapatia ufahamu masuala ya mitaji dhamsna na uuzaji hisa.             Jumla ya wanafunzi walioshiriki ni 7  501  na waliofanikiwa katika fainali ni 80 kabla ya kupata washindi wa kwanza katika kila idara na hatimaye kupatikana 12 watakao kwenda afrika kusini kujifunza  zaidi suala LA soko LA mitaji na hisa ili waweze kuwa mabalozi bora nchini.                   Hats hivyo serikali imewataka watanzania kutoa  taarifa za wafanyabiashara nchini wanaotumia dola katika kuuza bidhaa zao ili kudhibiti sarafu ya Tanzania kushuka thamani

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List