Umoja wa Vijana wa chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam wamempongeza Rais John Pombe Magufuli pamoja na Waziri mkuu Kassim Majariwa kwa hatua ambazo wamekuwa wakichukua dhidi ya watendaji wabadhilifu Wamesema hatua alizochukua Rais Magufuli na waziri mkuu wake ni za Kishujaa kwa kuwa wamegusa maslahi ya watu, hivyo wanahitaji kuombewa na ushirikiano kutoka kwa wananchi
NCAA YAALIKA WANAWAKE KUTALII NGORONGORO KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA
WANAWAKE DUNIANI
-
Kassim Nyaki, Arusha.
Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani tarehe 8 machi,
2025 Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa kushirikian...
Saa 20 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni