Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi U.W.T Mkoa wa Dar es salaam wamempongeza Rais Magufuli kwa uwajibikaji wake na utendaji kazi kwa kupiga vita mafisadi na wakwepa Kodi Rais Magufuli amefananishwa na hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere. kwa ufuatiliaji wa mambo kwa ukaribu na kuwawajibisha viongozi wazembe Janeth Masaburi ni mwenyekiti wa U.W.T Mkoa wa Dar es salaam amewataka Watanzania bila Kujali itikadi za vyama. Kabila au dini kwa kushirikiana na watendaji wa Serikali Kwa pamoja kutoa ushirikiana na watendaji wa Serikali kwa pamoja kutoa ushirikiano wa dhati kwa kuleta maendeleo ya Taifa
NCAA YAALIKA WANAWAKE KUTALII NGORONGORO KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA
WANAWAKE DUNIANI
-
Kassim Nyaki, Arusha.
Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani tarehe 8 machi,
2025 Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa kushirikian...
Saa 14 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni