Wananchi waliodhurumiwa haki yao ya ardhi walioachiwa na marehemu mama yao wamemuomba Rais John Pombe Magufuli asikie kilio Chao ili awasaidie kurudishiwa haki yao ya Kiwanja Wananchi hao wakazi wa Kata ya Miono Chalinze Kitongoji cha Kikalo halmashauri ya Bagamoyo wameiomba Serikali iwasaidie kwa kuwa ni wanyonge wamenyimwa haki yao ambapo Kiwanja hicho walilithi kutoka kwa marehemu mama yao
NCAA YAALIKA WANAWAKE KUTALII NGORONGORO KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA
WANAWAKE DUNIANI
-
Kassim Nyaki, Arusha.
Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani tarehe 8 machi,
2025 Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa kushirikian...
Saa 6 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni