Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Hab Mkwiza amewaagiza waajiri katika. Sekta ya Umma nchini kuhakikisha ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa Umma inatekelezwa kabla ya Disemba 31 mwaka huu Hatua hiyo inakuja ikiwa ni jitihada za kurudisha maadili ya kazi kwa watumishi wa Umma, Kutokana na madai ya kuwepo kwa Baadhi ya watumishi kujihusisha na vitendo vya rushwa, ubadhilifu wa mali za Umma, utoro kazini na vitendo vya Unyanyasaji
KABUDI APONGEZA WAANDISHI WA HABARI
-
*Dodoma*
Waziri Wizara ya Habari Michezo Utamaduni Sanaa na Michezo Prof.
Palamagamba Kabudi ametoa pongezi kwa Waandishi wa Habari kwa juhudi zao za
...
Siku 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni