Pongezi hizo zimetolewa baada ya Kufanikiwa kuwaondoa maeneo waliyokuwepo wakifanyia biashara zao. Hivi sasa wametengewa maeneo rasmi ya kufanyia biashara lkatika maeneo ya Kigogo, Tabata, Ukonga na Kivule ambapo wataweza kulipa Kodi na kunufaika pato la taifa.
DKT. MWINYI HAKUNA ATAKAYE BAGULIWA KWA ASILI YAKE ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu Zanzibar
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi ambaye
pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la M...
Saa 8 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni