Pongezi hizo zimetolewa baada ya Kufanikiwa kuwaondoa maeneo waliyokuwepo wakifanyia biashara zao. Hivi sasa wametengewa maeneo rasmi ya kufanyia biashara lkatika maeneo ya Kigogo, Tabata, Ukonga na Kivule ambapo wataweza kulipa Kodi na kunufaika pato la taifa.
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
Wiki 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni