VIJANA NA MAAMBUKIZI YA UKIMWI

Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi, Dkt Fatma Mrisho amesema tatizo la Ukimwi bado ni kubwa kwa Vijana hali inayochangiwa na kufanya ngono zembe. Dkt Fatma amesema katika ukuaji wa tatizo hilo, Vijana wa Kike ndiyo wanaongoza kwa Maambukizi hayo ikilinganishwa na wale wa Kiume. hayo ameyasema wakati wa kufunga Semina ya Vijana kuhusu Ukimwi pamoja na Maambukizi ya VVU. James Kajingwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini amewataka Vijana wajiepushe na Utumiaji wa Ulevi wa kupitiliza unaweza kuchochea tabia ya kufanya ngono zembe na kupelekea Maambukizi ya UVV, pia amewataka Vijana kujitambua  sambamba kuwa Mabalozi wa wengine kwa ajili ya kulinda vizazi vijayo kwa kutoa elimu ya mapambano dhidi ya Maambukizi ya VVU

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List