Wananchi Buguruni Malapa wajipanga kukomesha tatizo la Uchafu basi wamehamasishana kuhakikisha suala la Usafi ni la kila mmoja badala ya kuachia Serikali ama chama fulani ili kufanikisha tatizo la Ugonjwa wa Kipindupindu uliopoteza maisha ya wengi Diwani wa Kata ya Ilala Saad Khimji amesema kumekuwepo na tatizo kubwa la baadhi ya Wananchi hususani nyakati za Mvua kufungulia Maji machafu ambayo husambaa katika makazi ya Watu na kusababisha Vinyesi lkutapakaa na kuchangia magonjwa ya milipuko
HUWEZI KUTENGANISHA TARI NA KILIMO : MGANGA
-
Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Fatuma Mganga amesema tunafahamu suala la
kilimo huwezi kulitenganisha na TARI na huwezi ukatengamisha uchumi wa nchi
ye...
Saa 11 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni