Wananchi Buguruni Malapa wajipanga kukomesha tatizo la Uchafu basi wamehamasishana kuhakikisha suala la Usafi ni la kila mmoja badala ya kuachia Serikali ama chama fulani ili kufanikisha tatizo la Ugonjwa wa Kipindupindu uliopoteza maisha ya wengi Diwani wa Kata ya Ilala Saad Khimji amesema kumekuwepo na tatizo kubwa la baadhi ya Wananchi hususani nyakati za Mvua kufungulia Maji machafu ambayo husambaa katika makazi ya Watu na kusababisha Vinyesi lkutapakaa na kuchangia magonjwa ya milipuko
UKIWA NA JANABA USIINGIE PANGO LA FATUMA KATIKA MAPANGO YA AMBONI TANGA
-
Na Kassim Nyaki, Tanga.
Je umewahi kutembelea Mapango ya Amboni na kupata simulizi zake?
Pengine kwa muda mrefu unatafuta mchumba uoe au uolewe lakini ...
Saa 3 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni