USAFI BUGURUNI MALAPA KIPINDUPINDU BASI

Wananchi Buguruni Malapa wajipanga kukomesha tatizo la Uchafu  basi wamehamasishana kuhakikisha suala la Usafi ni la kila mmoja badala ya kuachia Serikali ama chama fulani ili kufanikisha tatizo la Ugonjwa wa Kipindupindu uliopoteza maisha ya wengi Diwani wa Kata ya Ilala Saad Khimji amesema kumekuwepo na tatizo kubwa la baadhi ya Wananchi hususani nyakati za Mvua kufungulia Maji machafu ambayo husambaa katika makazi ya Watu  na kusababisha Vinyesi lkutapakaa na kuchangia magonjwa ya milipuko

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List