Wananchi Buguruni Malapa wajipanga kukomesha tatizo la Uchafu basi wamehamasishana kuhakikisha suala la Usafi ni la kila mmoja badala ya kuachia Serikali ama chama fulani ili kufanikisha tatizo la Ugonjwa wa Kipindupindu uliopoteza maisha ya wengi Diwani wa Kata ya Ilala Saad Khimji amesema kumekuwepo na tatizo kubwa la baadhi ya Wananchi hususani nyakati za Mvua kufungulia Maji machafu ambayo husambaa katika makazi ya Watu na kusababisha Vinyesi lkutapakaa na kuchangia magonjwa ya milipuko
MBETO: LENGO LA DUNIA VYAMA VYA UKOMBOZI VING'OKE MADARAKA
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Mpango uliopo wa kidunia hivi sasa ni kuhamasisha vurugu na uharibifu wa
miundombinu ili kuhakikisha vyama vya ukombozi Afr...
Saa 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni