Baada ya vuta nikuvute na kusababisha Machinjio ya Vingunguti kufungwa kwa Mwezi . mmoja hatimaye Mkuu wa Mkoa Dar es salaam Paulo Makonda ameyafungua rasmi kufuatia Mamlaka ya Chakula TFDA kukamilika,.Makonda amewataka Wafanyabiashara kuacha tabia ya kuuza Nyama kiolela na kuwataka kuthamini ubora wa Nyama wanazochinja. Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema Machinjio hayo ni ya muda mrefu hivyo kwa sasa Wana Mipango ya kuiboresha zaidi ili iwe ya kisasa na iweze kutoa huduma za Kitaifa na Kimataifa
NYAYO ZA LAETOLI FURSA YA VIWANDA VYA VIATU DUNIANI KUTENGENEZA VIATU VYA
KIHISTORIA
-
Kuna methali isemayo “Asiyejua maana haambiwi maana “ lakini Ngorongoro leo
itakuambia maana ya Nyayo za Laetoli.
Nyayo hizi ni za kihistoria na ni se...
Saa 4 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni