Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema na Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Siasa akiwepo Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke Sikunjema Yahya
amewataka Jamii nchini wasiudhalau Mwenge wa Uhuru ndio mkombozi wa Tanzania uliowashwa wakati wa Uhuru wa Mtanzania baada ya kutoka mikononi mwa Wakoloni,uliwashwa na Mwasisi wa Tanzania Hayati Mwalimu Julias Kambarage Nyerere Baba wa Taifa pamoja na kuleta Mungano wa Tanganyika na Zanzibar na kupatikana jina la Tanzania
,
WADAU WA UTALII KUTOKA UINGEREZA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA UHIFADHI WA
VIVUTIO VYA UTALII. NCHINI
-
Mwezi mmoja baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu nchini Tanzania wadau wa
utalii duniani wanaendelea kumiminika ambapo mawakala wakubwa wa utalii
kuto...
Siku 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni