Asilimia 50 ya bidhaa zinazouzwa nchini imebanika ni bidhaa bandia kutoka nje ya nchi Utafiti uliotolewa na Shirikisho la Viwanda Tanzania Cti unaonyesha bidhaa hizo ni Vyakula, dawa, vinywaji, pembejeo za kilimo na vifaa vya maofisini. Taarifa ya Utafiti imetolewa katika warsha iliyowashirikisha wadau mbalimbali jijini Dar es salaam, mtaalam wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe Prof Prosper Ngowi mdau wa Uchumi na Evarist Maembei Kansela cti
UTULIVU WA FARU VICKY NA NAMNA ALIVYOOPOA MADUME WENGI HIFADHI YA
NGORONGORO
-
Na Mwandishi Wetu, Ngrongoro Kreta.
Waswahili husema mwenda kimya ndio mla nyama , ndivyo alikuwa faru Vicky
anayepatikana ndani ya hifadhi ya Ngoro...
Saa 7 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni