Asilimia 50 ya bidhaa zinazouzwa nchini imebanika ni bidhaa bandia kutoka nje ya nchi Utafiti uliotolewa na Shirikisho la Viwanda Tanzania Cti unaonyesha bidhaa hizo ni Vyakula, dawa, vinywaji, pembejeo za kilimo na vifaa vya maofisini. Taarifa ya Utafiti imetolewa katika warsha iliyowashirikisha wadau mbalimbali jijini Dar es salaam, mtaalam wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe Prof Prosper Ngowi mdau wa Uchumi na Evarist Maembei Kansela cti
WADAU WA UTALII KUTOKA UINGEREZA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA UHIFADHI WA
VIVUTIO VYA UTALII. NCHINI
-
Mwezi mmoja baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu nchini Tanzania wadau wa
utalii duniani wanaendelea kumiminika ambapo mawakala wakubwa wa utalii
kuto...
Siku 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni