Sababu za kushindwa kuendelea kwa miradi ya Chama cha Mapinduzi Ccm imetajwa kuwa baadhi ya Viongozi wasio waaminifu ujinufaisha binafsi, vikao vya muda mrefu vinavyokosa uamuzi. Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala Kafuge Joel amesema Imani ndani ya chama huenda ikarejea katika mabadiliko ya Uchumi Kutokana na kati ya Utendaji wa Rais wa awamu ya Tano Dk John Pombe Magufuri anayetarajiwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Ccm hivi karibuni. Nao baadhi ya Viongozi katika Mkutano huo Mkuu wa Wilaya ya Ilala uliolenga na kujadili maendeleo na changamoto na kuwataka wanachama wa CCM kumaliza tofauti za makundi yanayosababisha kusomeka kwa Chama wakati wa Uchaguzi Mkuu 2015
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 6 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 6 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 6 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 7 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni