Baada ya staa wa Bongofleva Rayvanny kushinda tuzo za ya BET kwenye kipengele cha Best New Internationa Act, Good News nyingine ni hii ya Afrika Mashariki kuendelea kuwa kwenye headlines, ni kundi la dancers kutoka Uganda, Ghetto Kids walioshirikishwa kwenye video ya rapa French Montana kupewa nafasi ya kuperform steji moja na rapa huyo.
NGORONGORO MOTO MOTO BAJETI 2026/2027
-
Na Kassim Nyaki, Dodoma.
Leo tarehe 18 Mei, 2026 waheshimiwa wabunge wataendelea kujadili bajeti ya
Wizara ya Maliasili na Utalii iliyowasilishwa ijumaa...
Saa 8 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni