Baada ya staa wa Bongofleva Rayvanny kushinda tuzo za ya BET kwenye kipengele cha Best New Internationa Act, Good News nyingine ni hii ya Afrika Mashariki kuendelea kuwa kwenye headlines, ni kundi la dancers kutoka Uganda, Ghetto Kids walioshirikishwa kwenye video ya rapa French Montana kupewa nafasi ya kuperform steji moja na rapa huyo.
KAGERA SUGAR WAICHAPA TRANSIT CAMP NYUMBANI
-
Timu ya soka ya Kagera Sugar ya Bukoba jana wametoka kifua mbele kwa
ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Timu ya Transint Camp kwenye mchezo wa ligi
daraja...
Saa 7 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni