Tanzania imekuwa kivutio kikubwa cha watalii kutoka mataifa mbalimbali hususani maeneo ya Serengeti National Park na Mlima Kilimanjaro.
Msanii maarufu wa Marekani Usher Raymond pamoja na familia yake wapo ziarani nchini Tanzania, na leo wametembelea eneo la hifadhi ya wanyama pori la Serengeti National Park.
Raymond kupitia ukarasa wake wa twitter ameweka picha ikionesha yupo katika hifadhi hiyo wakifurahia mazingira yeye na familia yake.
“So amazing to experience this beauty with my family” ameandika Usher Raymond kwenye kurasa wake wa twitter wakati akiwa katika hifadhi ya taifa ya Serengeti.
UWT KIBAHA MJI YAFANYA KWELI YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA KUPANDA MITI
-
Jumuiya ya umoja wa wanawake Wilaya ya Kibaha mjini (UWT) katika kusherekea
maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi (CCM) kimeamua ...
Saa 4 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni