Tanzania imekuwa kivutio kikubwa cha watalii kutoka mataifa mbalimbali hususani maeneo ya Serengeti National Park na Mlima Kilimanjaro.
Msanii maarufu wa Marekani Usher Raymond pamoja na familia yake wapo ziarani nchini Tanzania, na leo wametembelea eneo la hifadhi ya wanyama pori la Serengeti National Park.
Raymond kupitia ukarasa wake wa twitter ameweka picha ikionesha yupo katika hifadhi hiyo wakifurahia mazingira yeye na familia yake.
“So amazing to experience this beauty with my family” ameandika Usher Raymond kwenye kurasa wake wa twitter wakati akiwa katika hifadhi ya taifa ya Serengeti.
PAC YAPONGEZA UJENZI NYUMBA 109 KWA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO YA TOPE HANANG
-
Katika taarifa yake, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia
masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema, ujenzi wa nyumba
hi...
Saa 11 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni