Rais Magufuli amefanya uteuzi kwa kuwateua Bibi. Mary Gasper Makondo kuwa Kamishna wa Ardhi na Bibi Evelyne Mugasha kuwa Mthamini Mkuu wa Serikali .
Aidha, Rais Magufuli amemteua Dkt.
Stephen J. Nindi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi.
Uteuzi huu utaanza July 16, 2017.
MFUMO WA USAJILI WAANDISHI WA HABARI KIDIJITALI UPO MBIONI KUKAMILIKA-
MSIGWA
-
Na Mwandishi Wetu,
Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa
kushirikiana na Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA) inaendelea na ha...
Saa 5 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni