Rais Magufuli amefanya uteuzi kwa kuwateua Bibi. Mary Gasper Makondo kuwa Kamishna wa Ardhi na Bibi Evelyne Mugasha kuwa Mthamini Mkuu wa Serikali .
Aidha, Rais Magufuli amemteua Dkt.
Stephen J. Nindi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi.
Uteuzi huu utaanza July 16, 2017.
UWT KIBAHA MJI YAFANYA KWELI YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA KUPANDA MITI
-
Jumuiya ya umoja wa wanawake Wilaya ya Kibaha mjini (UWT) katika kusherekea
maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi (CCM) kimeamua ...
Saa 2 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni