Makonda kumaliza msongamano katika hospitali Dar es salaam
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekagua wodi ya akina mama katika Hospitali ya Amana iliyopo Ilala Jijini Dar es salaam.
Katika ukaguzi huo Makonda amesema kuwa kukamilika kwa wodi hiyo kutasaidia kuondoa msongamano mkubwa uliokuwepo kipindi cha nyuma hivyo amewaasa wahusika kutunza wodi hiyo.
Aidha, ameongeza kuwa katika idara ambayo anaamini kuwa itafanya vizuri katika mkoa wa ni sekta ya afya kwa kuwa watu wengi wamekuwa wakijitolea kusaidia katika sekta hiyo. Pia amewashukuru watu wote waliojitolea kuweza kuchangia hivyo amewaasa wananchi kujitokeza kuungana na Serikali katika kuujenga mkoa wa Dar es salaam.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 5 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni