Chama cha adc wamefanya mkutano wa kutathimini maendeleo na changamoto katika kipindi hiki cha miaka mitano ya chama hicho.Pia wamejipanga kuwapa maendeleo wananchi kwa kuwapa mikopo isiyokuwa na riba lengo ni kuinua uchumi kwa jamii walio maskini.Wakiongea na mwandishi wa blog wamesema wanamuunga mkono mhe rais wa awamu ya tano na wako bega kwa bega kuhakikisha wanamsaidia katika malengo yake ya kuongeza viwanda na kusimamia viweze kuwaletea maendeleo kwa Watazania.Hayo amesema kiongozi wa chama hicho . akimalizia amesema watahakikisha wakulima wa karafuu visiwani zanzibar wanapata maendeleo na kunufaika na zao hilo.
PAC YAPONGEZA UJENZI NYUMBA 109 KWA WAATHIRIKA WA MAPOROMOKO YA TOPE HANANG
-
Katika taarifa yake, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia
masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema, ujenzi wa nyumba
hi...
Saa 5 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni