Uongozi wa Sdm production media unatoa pole kwa watu wote walioguswa na Msiba wa mke wa Waziri Mwakyembe kwa kufiwa na mke wake Linah Mwakyembe. Hivyo tunaungana na watanzania wote katika kutoa faraja kwa Mheshimiwa Waziri na Viongozi wote.
BALOZI MATINYI AHIMIZA WAFANYA BIASHARA KUSHIRIKI MAONESHO ALGERIA
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akipatiwa maelezo
ya namna kampuni ya Riad Hanieth Food Supplies ya Jordan yenye tawi lake
nchi...
Siku 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni