Uongozi wa Sdm production media unatoa pole kwa watu wote walioguswa na Msiba wa mke wa Waziri Mwakyembe kwa kufiwa na mke wake Linah Mwakyembe. Hivyo tunaungana na watanzania wote katika kutoa faraja kwa Mheshimiwa Waziri na Viongozi wote.
WABUNGE WAIPONGEZA SERIKALI KWA KUTOA BILIONI 10.4 KUJENGA MAKAO MAKUU
MAPYA YA MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO.
-
Na Mwandishi wetu.
Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii
wameipongeza na kuishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya uongo...
Saa 6 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni