Neymar asilimia 90 kuondoka Barcelona
Uwezekano wa mshambuliaji raia wa Brazil Neymar Jr kuondoka katika klabu ya Barcelona ni mkubwa kutokana na mchezaji huyo kutokuwa na furaha ndani ya klabu hiyo.
Kuna taarifa kuwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 anataka kucheza katika klabu nyingine ili aweze kung’ara na kushinda Ballon d’Or kitu ambacho hawezi kufanya Barcelona kutokana na uwepo wa Lionel Messi.
Klabu ya Paris Saint-Germain ndio klabu pekee iliyo tayari kutoa kiasi kikubwa cha pesa ambayo Barcelona wanaitaka ili kumnunua Neymar huku klabu za Chelsea na Manchester United zikiwa haziko tayari kufanya hivyo.
PSG ambao wamekuwa wakimtaka Neymar kwa kipindi kirefu sasa wako tayari kutoa kiasi cha pauni milioni 196 ili kumsajili mshambuliaji huyo.
Taarifa zinasema Barcelona wamekuwa wakimtaka Neymar kukana kwa Uma taarifa za kuwa hana furaha katika klabu hiyo lakini mchezaji huyo hajafanya hivyo.
Upo uwezekano wa Neymar kuondoka Barcelona na kuna taarifa kuwa amewaambia rafiki zake wa karibu jambo hilo.
Wakati huohuo raisi wa klabu ya Barcelona Josep Bartomeu amesema Neymar hauzwi.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 5 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni