Eneka ni moja kati ya nyimbo ambazo Diamond ameziachia kwa kushtukiza na mapokezi yake yameonekana kuwa makubwa tofauti na alivyotarajia. Miongoni mwa walioonekana kuikubali ngoma hiyo ni Yemi Alade.
Kitendo cha Diamond kutumia baadhi ya maneno ya lugha ya nchini Nigeria ndio kimeonekana kumfanya Yemi kuupenda zaidi wimbo huo.
Muimbaji huyo kutoka huko Nigeria, ameshindwa kuzuia hisia zake kwa wimbo huo baada ya kucomment kwenye moja ya video ambayo Diamond ameiweka kwenye mtandao wa Instagram. “Omg !you are singing in IGBO 💃💃 @diamondplatnumz,” ameandika Yemi Alade.
WABUNGE WAIPONGEZA SERIKALI KWA KUTOA BILIONI 10.4 KUJENGA MAKAO MAKUU
MAPYA YA MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO.
-
Na Mwandishi wetu.
Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii
wameipongeza na kuishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya uongo...
Saa 7 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni