TANZANIA YANG'ARA KIMATAIFA.

Matokeo tuliyopata timu za Tanzania kwenye michuano ya CAF inaonesha ubora wa ligi yetu,ni kweli sisi namba 5 barani Afrika.


Wiliete 0-3 Yanga SC
Gaborone 0-1 Simba SC
El merriekh 0-2 Azam FC
Rayon 0-1 Singida BS

Timu zote zimefanya vizuri kwenye michezo yake ya kwanza na wote wakiwa ugenini.

Msimamo wa Goli la mama:
- Yanga SC - Tshs 15m
- Azam FC - Tshs 10m
- Simba SC - Tshs 5m
- Singida BS - Tshs 5m

Pongezi Kwa @ligikuu Kwa mapambano wanayofanya licha kuwa na changamoto ndogo ndogo lakini Kwa asilimia kubwa wanafanya kazi kubwa ya kukuza mpira wetu na kuendana na mabadiliko ya mpira wa kisasa.

Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List