Baadhi ya vijana wanaofanya shughuli zao kando kando ya barabara ya Uhuru Dar es salaam eneo la Malapa wakicheza mchezo wa bao mchezo huo uliopata umaarufu mkubwa miaka ya nyuma ulikuwa ukuchezwa na wazee pekee rakini kwa sasa vijana wamekuwa wakiufatilia na kuucheza kwa ustad mkubwa kushoto ni Jagani Ndizi na Omari Kijungujiko PICHA NA BLOG YA SUPER D |
Version Conflict: Version Conflict: MASHIRIKA YA UMMA ACHENI WATAKIWA
KUJITEGEMEA
-
Ofisi ya Msajili wa Hazina pamoja na Ofisi ya Mkaguzi kuu wa Hesabu za
Serikali (CAG) imeunda kamati ya pamoja ya kuangalia namna mashirika ya
umma yanavy...
Saa 13 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni