Airtel yatosha yaendelea kuwapa washindi mamilioni


Furaha ya ushindi.
  Mshindi wa promosheni ya Airtel inayofahamika kwa jina la Airtel yatosha shinda nyumba 3, Bw. Hashim Mtindo mkazi wa Kigamboni akiwa ameshikilia pesa zake baada ya kukabidhiwa kitita hicho kama mshindi aliyeibuka kupitia promosheni maalum ya Airtel yatosha shinda nyumba 3. Kulia kwake ni Ofisa Huduma kwa wateja wa Airtel Bi,  Happy.
Mmoja kati ya washindi saba waliojishindia milioni moja kupitia promosheni maalumu ya Airtel yatosha shinda nyumba 3, Bw. Elineema Mahuki mkazi wa Kitunda- Dar es salaam  akihesabu pesa zake baada ya kukabidhiwa pesa hizo jana katika makao makuu ya Airtel Dar es salaam, Kulia kwake ni mtendaji kutoka kitengo cha huduma kwa wateja Happy.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List