MABONDIA Juan Manuel Marquez na Tim Bradley bingwa kucheza na mayweather



MABONDIA Juan Manuel Marquez na Tim Bradley wanatarajia kupanda ulingoni oktober 12 mwaka huu ambapo mabondia hawo waliowai kumtwanga bondia machachari Manny Paquai wamelezwa kuwa mpambano huo ndio utakaotoa dila ya nani acheze na bondia bingwa asiyepigika duniani Floyd Mayweather ambaye hivi karibuni alimtwanga kwa point bondia machachari na kijana mdogo kiumri canelo alvarez ambaye ndie aliyewanyanyasa mabondia wengi na kustop kwa Mayweather JR sasa kinachosubiliwa siku dakika na saa

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List