MABONDIA Juan Manuel Marquez na Tim Bradley wanatarajia kupanda
ulingoni oktober 12 mwaka huu ambapo mabondia hawo waliowai kumtwanga
bondia machachari Manny Paquai wamelezwa kuwa mpambano huo ndio
utakaotoa dila ya nani acheze na bondia bingwa asiyepigika duniani Floyd
Mayweather ambaye hivi karibuni alimtwanga kwa point bondia machachari
na kijana mdogo kiumri canelo alvarez ambaye ndie aliyewanyanyasa
mabondia wengi na kustop kwa Mayweather JR sasa kinachosubiliwa siku
dakika na saa
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Chapisha Maoni