NAPE AZUNGUMZIA MSIMAMO WA CCM JUU YA MCHAKATO WA KATIBA




Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na
waandishi wa habari leo katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya
CCM-Lumumba Dar es Salaam. Alikuwa akitoa ufafanuzi kuhusu masuala yahusuyo Mchakato wa Katiba mpya na kusema "tunaheshimu tume,tunaimani nayo na tunaahidi ushirikiano wa kutosha katika mchakato wa Katiba"
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List