MCHAKATO EPIQ BSS UNAVYOSONGA



Mshiriki Merisa John ambae alichaguliwa kwa njia ya simu (Wild Card) kuingia katika shindano la Epiq Bongo Star Search (EBSS) akiimba kwa hisia mbele ya majaji wa shindano hilo
 Mshiriki  Raymond Kasago ambae alichaguliwa kwa njia ya simu (Wild Card) kuingia katika shindano la Epiq Bongo Star Search (EBSS) akiimba kwa hisia mbele ya majaji wa shindano hilo

Jaji Madam Ritha (katikati) akifurahia jambo pamoja na majaji wenzake Master Jay (kulia) na Salama Jabir wakati wa shindano hilo.

Washiriki wakisikiliza maoni kutoka kwa majaji ambapo wote waliambiwa kuwa wanaendelea kubakia katika jumba hilo
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List