MI MMASAI BANA NASEMA MI MMASAI NADUMISHA MILA ILE WENGINE ILISHASHINDWA...



Nafurahi sana napowaona Wamasai wakiwa katika moja ya Mila zao popote pale wanapokutana iwe wawili au watatu hapa ni Segerea Stand wamasai hawa huwa kivutio kweli kwa watu wanaoshuka kwenye daladala kuelekea majumbani mwao huwa wanasimama kidogo kuwataza.kiukweli wanadumisha Mila ile wengine tulishashindwa Mi Mmasai bana Nasema Mi Mmasai Kipi najivuni Mmasai fahari yangu....
Hapa ni kuruka kwa kwenda mbele..
Wakijiandaa hapo..
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List