RAIS KIKWETE AFUNGUA UWANJA WA NDEGE WA MAFIA



 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kuashiria kuzindua rasmi uwanja wa Ndege Mafia uliojengwa kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na mfuko wa Millenium Challenge Corporation(MCC),Kulia ni Mratibu wa shughuli za MCC nchini Bwana Bernard Mchomvu na katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi Mwantumu Mahiza na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wananchi wa wilaya ya Mafia muda mfupi kabla ya kuzindua rasmi Gati la Mafia leo asubuhi. Picha na Fredy Maro
Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List