Airtel yaipiga tafu Mpinga Cup 2013



Kamanda Msaidizi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, ACP Jehansen Kahatano (wa pili kushoto) akipokea mipira itakayotumika kwenye mashindano ya Mpinga Cup 2013 kutoka kwa  Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando (wa pili kulia), pamoja na Rais wa Be forward Tanzania, Hironori Yamakawa (kushoto). Katika makabidhiano hayo Airtel pia ilikabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni tano kudhamini mashindano hayo ya Mpinga Cup. Anaeshuhudia ni Mkuu wa usalama barabarani kanda ya Dar es salaam, ACP Amiri Konja.
  KamandaACP Jehansen Kahatano akipokea mfano wa hundi kutoka kwa Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando iliyotolewa leo kwa dhumuni la kudhamini mashindano ya mpira wa miguu kwa waendesha pikipiki maarufu kama Mpinga cup. 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List