BREAKING NEWS:DR SENGODO MVUNGI AFARIKI DUNIA MCHANA



Taarifa zilizotufikia dawati letu la habari Muda huu kutoka kwa Mdau wetu Chrispine Selenga Nyagawa zinasema kuwa Dr Sengodo Mvungi amefariki dunia Mnamo Majira ya Saa Tisa na Nusu mchana leo akiwa katika Hospitali ya Milpark iliyopo Afrika Kusini Alipopelekwa Kwaajili ya Matibabu zaidi Kutokana na Kujeruhiwa na watu wanaodhaniwa kuwa Ni Majambazi walipovamia nyumbani kwake.

Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi.

Tutaendelea kuwajuza kadri taarifa zinavyotufikia na tunaendelea kufuatilia habari hii.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List