KUTOKA KWENYE VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA




Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid (kushoto) na Mbunge wa Mkanyageni, Mohamed Habib Mnyaa,kabla ya kuanza kwa kikao cha Bunge mjini Dodoma Desemba 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge kabla ya kipinda cha maswali kjwa Waziri Mkuu, Bungeni mjini Dodoma Desemba 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma Desemba 5, 2013.
Mbunge wa Viti Maalum, Martha Mlata (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Nkenge, Asumta Mshama kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Desemba 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dr. Fenella Mukangara kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Desemba 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (kushoto) na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid, kwenye jengo a Utawala la Bunge Mjini Dodoma December 5, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma, Desemba 5, 2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List