Habari zilizotufikia hivi punde kutoka nchini Kenya zinadai kuwa Rais mstaafu wa nchi hiyo Daniel Arap Moi amefariki dunia katika Hospital ya Aga Khan alikokuwa amelazwa kwa matibabu
KRETA YA NGORONGORO YAMVUTIA MEYA WA JIJI LA DALLAS MAREKANI, AAHIDI
KUREJEA NA FAMILIA YAKE
-
Na Mustapha Seifdine, Ngorongoro Kreta.
Eneo la hifadhi ya Ngorongoro limeendelea kuwa kimbilio la wageni mashuhuri
duniani ambapo siku ya leo, Meya wa ...
Saa 12 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni