MSANII WA BONGO MOVIE RACHEL HAULE AFARIKI DUNIA ASUBUHI HII


Rachel Haule ‘Recho' enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho,’ amefariki dunia asubuhi hii akiwa katika Chumba cha wagonjwa wanaohitaji Uangalizi Maalumu ICU.  Taarifa za awali zinasema kuwa Marehemu alijifungua jana Kwa Operesheni lakini Bahati Mbaya Mtoto akafariki na baada ya operesheni hiyo ndipo na yeye hali ikawa mbaya na kupelekwa ICU hadi mauti yalipomfika leo asubuhi.

 MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMEN!
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List