TANZANIA MOVIE TALENTS SASA KUANZA JIJINI DAR ES SALAAM




 
KARIBU  UCHUKUE  FOMU  NI  BUREEEEEEEEE
Baada ya Kumaliza shindano la Tanzania Movie Talents Kwenye Kanda tano za Tanzania yaani Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Kanda ya Kusini na Kanda ya Kaskazini sasa ni zamu ya kanda ya Pwani ambayo inahusisha Mikoa ya Dar Es Salaam, Morogoro na Mkoa wa Pwani kushiriki kwenye shindano la Kwanza na La aina yake ambalo halijawahi kutokea Afrika Mashariki na Kati likiendeshwa na Kampuni ya Proin Promotions Limited.
Ratiba ya Dar Es Salaam
Ni kuanzia Umri wa Miaka 14 na Kuendelea.
UKUMBI NI MAKUMBUSHO YA TAIFA KARIBU NA CHUO CHA IFM KUANZIA SAA 2 ASUBUHI Kwa Mawasiliano Zaidi Piga  0658 700 400 0687 707  071
Au Tembelea Ukurasa Wetu wa Facebook: http://www.facebook.com/tztmt Instagram: @tmt_tz
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List