Serikali imeshauriwa kuwasaidia wafugaji wadogo nchini mradi wa Kopa Ng'ombe lipa Ng'ombe ili waweze kuJfanikiwa kimaendeleo na kuepukana na maswala ya Umasikini wa kipato,wananchi wa mtaaa wa Yombovituka wilaya ya Temeke jijini Dar es alaam wamesema mradi huo wanasikia kwa baadhi ya watu yakuwa wamewezeshwa mkopo wa Ng'ombe lakini wao awajawahi kupata pamoja wanatamani nao wangewezeshwa mkopo huo.
NGORONGORO ADVANCES SOLUTIONS TO RURAL WATER CHALLENGES
-
Ngorongoro, through its Community Development Department, has continued to
engage villages both within and around the conservation area to address
pres...
Saa 4 zilizopita
Blogger Comment