Serikali imeshauriwa kuwasaidia wafugaji wadogo nchini mradi wa Kopa Ng'ombe lipa Ng'ombe ili waweze kuJfanikiwa kimaendeleo na kuepukana na maswala ya Umasikini wa kipato,wananchi wa mtaaa wa Yombovituka wilaya ya Temeke jijini Dar es alaam wamesema mradi huo wanasikia kwa baadhi ya watu yakuwa wamewezeshwa mkopo wa Ng'ombe lakini wao awajawahi kupata pamoja wanatamani nao wangewezeshwa mkopo huo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
Blogger Comment