Serikali imeshauriwa kuwasaidia wafugaji wadogo nchini mradi wa Kopa Ng'ombe lipa Ng'ombe ili waweze kuJfanikiwa kimaendeleo na kuepukana na maswala ya Umasikini wa kipato,wananchi wa mtaaa wa Yombovituka wilaya ya Temeke jijini Dar es alaam wamesema mradi huo wanasikia kwa baadhi ya watu yakuwa wamewezeshwa mkopo wa Ng'ombe lakini wao awajawahi kupata pamoja wanatamani nao wangewezeshwa mkopo huo.
KAMISHNA WA NCAA AONGOZA MAKABIDHIANO YA MWENGE WA UHURU NGORONGORO, KARATU
-
Mwandishi wa NCAA, Karatu.
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw.
Abdulrazaq Badru amewaongoza watumishi wa Mamlaka ...
Saa 18 zilizopita
Blogger Comment