UFUGAJI WA NG'OMBE

Serikali imeshauriwa kuwasaidia wafugaji wadogo nchini mradi wa Kopa Ng'ombe lipa Ng'ombe ili waweze kuJfanikiwa kimaendeleo na kuepukana na maswala ya Umasikini wa kipato,wananchi wa mtaaa  wa Yombovituka wilaya ya Temeke jijini Dar es alaam wamesema mradi huo wanasikia kwa baadhi ya watu yakuwa wamewezeshwa mkopo wa Ng'ombe lakini wao awajawahi kupata pamoja wanatamani nao wangewezeshwa mkopo huo.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List