wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam wakionyesha vipaji ndani ya klabu ya sayansi ya lugha(lingustics club) ambapo msanii stone gold a.k.a jiwe aliibuka mkali au kinara wa shoo baada ya kutumbuiza vizuri zaidi na kuwanyanyua watu.Msanii huyo ambaye jina lake kamili ni STUARTY GEORGE,ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam(DUCE)ameomba udhamini wa kazi zake za mziki na kuwaambia mashabiki wakae mkao wa kula.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
Blogger Comment