Msanii STONE GOLD A.K.A JIWE akifanya mambo yake ndani ya uzinduzi wa linguistics club

wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam wakionyesha vipaji ndani ya klabu ya sayansi ya lugha(lingustics club) ambapo msanii stone gold a.k.a jiwe aliibuka mkali au kinara wa shoo baada ya kutumbuiza vizuri zaidi na kuwanyanyua watu.Msanii huyo ambaye jina lake kamili ni STUARTY GEORGE,ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam(DUCE)ameomba udhamini wa kazi zake za mziki na kuwaambia mashabiki wakae mkao wa kula.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List