wanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam wakionyesha vipaji ndani ya klabu ya sayansi ya lugha(lingustics club) ambapo msanii stone gold a.k.a jiwe aliibuka mkali au kinara wa shoo baada ya kutumbuiza vizuri zaidi na kuwanyanyua watu.Msanii huyo ambaye jina lake kamili ni STUARTY GEORGE,ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha dar es salaam(DUCE)ameomba udhamini wa kazi zake za mziki na kuwaambia mashabiki wakae mkao wa kula.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
-
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
Saa 6 zilizopita
Blogger Comment