ARDHI YA TANZANIA NI FURSA KWA WATANZANIA (MAONYESHO YA SABASABA YA 38)





Ramani inayoonyesha ardhi ambayo wamewekeza


Meneja wa mauzo GEORGE COLYVAS na HAYAT ABDULAZIZ

Meneja wa mauzo GEORGE COLYVAS na HAYAT ABDULAZIZ




Kampuni ya PROPERTY INTERNATIONAL LTD inajishughulisha na upimaji na uzaji wa viwanda imeamua kutoa Elimu kupitia maonyesho ya biashara ya Sabasaba juu ya matumizi na uwekezaji katika ardhi kwa manufaa ya watanzania.Wakizungumza na mwandishi wamesema ARDHI ndo silaha ya kumboa mtanzania hivyo ni vizuri kama watanzania wenge wekeza katika ardhi.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List