icc.tunaushahidi wa kutosha juu ya Bosco ntaganda

Mahakama ya kimataifa ya Uhalifu wa kivita,ICC imesema kuwa imepata ushahidi wa kutosha kumfungulia mashitaka mbabe wa kivita wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo Bosco Ntaganda.
Ntaganda anashutumiwa kwa makosa ya Ubakaji, mauaji na hata kuwasajili watoto wadogo kama wapiganaji wakati wa vita vya mashariki mwa DRC.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List