fundi ujenzi amefariki dunia akiwa katika kazi zake za ujenzi mara baada ya kudondoka kutoka juu ya paa ,aliteleza kwenye ubao alio kuwa ameukalia .na kufikia. kichwa na.na kupasuka kichwa na hatiaye kupoteza maisha ,na urefu kutoka kwenye paah hadi sakafuni kuna urefu wa mita 15. marehemu amefahamika kwajina la Daudi chaften chuma akiwa na miaka 45 mkazi wa kibiti rufiji ,
tukio hilo lilitokea katika kanisa jipya la roman catholic linalo jengwa apo kibiti ,mwili huo ulikimbizwa kituo cha afya kibiti akiwa kisha kufa, mwili wakabidhiwa wandugu wa marehemu kwa maziko, na kuzika leo kwa wazazi wake wilaya ya mkuranga,
kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa pwani RPC Ulich onesful matei amesibitisha kutoka kwa kifo cha marehemu David chaften chuma
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
Blogger Comment