RPC ULICH ONESFUL MATEI ASIBITISHA KIFO CHA FUNDI MJENZI

fundi ujenzi amefariki dunia akiwa katika kazi zake za ujenzi  mara baada ya kudondoka kutoka juu ya paa ,aliteleza kwenye ubao  alio kuwa ameukalia .na kufikia. kichwa na.na kupasuka kichwa na hatiaye kupoteza maisha ,na urefu kutoka kwenye paah hadi sakafuni kuna urefu wa mita 15. marehemu amefahamika  kwajina la Daudi chaften chuma akiwa na miaka 45 mkazi wa kibiti rufiji ,

tukio hilo lilitokea  katika kanisa jipya la roman catholic  linalo jengwa apo kibiti ,mwili huo ulikimbizwa kituo cha afya kibiti akiwa kisha kufa, mwili wakabidhiwa wandugu wa marehemu kwa maziko, na kuzika leo kwa wazazi wake wilaya ya mkuranga,

kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa pwani RPC Ulich onesful matei amesibitisha kutoka kwa kifo cha marehemu David chaften chuma
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List