fundi ujenzi amefariki dunia akiwa katika kazi zake za ujenzi mara baada ya kudondoka kutoka juu ya paa ,aliteleza kwenye ubao alio kuwa ameukalia .na kufikia. kichwa na.na kupasuka kichwa na hatiaye kupoteza maisha ,na urefu kutoka kwenye paah hadi sakafuni kuna urefu wa mita 15. marehemu amefahamika kwajina la Daudi chaften chuma akiwa na miaka 45 mkazi wa kibiti rufiji ,
tukio hilo lilitokea katika kanisa jipya la roman catholic linalo jengwa apo kibiti ,mwili huo ulikimbizwa kituo cha afya kibiti akiwa kisha kufa, mwili wakabidhiwa wandugu wa marehemu kwa maziko, na kuzika leo kwa wazazi wake wilaya ya mkuranga,
kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa pwani RPC Ulich onesful matei amesibitisha kutoka kwa kifo cha marehemu David chaften chuma
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
Blogger Comment