fundi ujenzi amefariki dunia akiwa katika kazi zake za ujenzi mara baada ya kudondoka kutoka juu ya paa ,aliteleza kwenye ubao alio kuwa ameukalia .na kufikia. kichwa na.na kupasuka kichwa na hatiaye kupoteza maisha ,na urefu kutoka kwenye paah hadi sakafuni kuna urefu wa mita 15. marehemu amefahamika kwajina la Daudi chaften chuma akiwa na miaka 45 mkazi wa kibiti rufiji ,
tukio hilo lilitokea katika kanisa jipya la roman catholic linalo jengwa apo kibiti ,mwili huo ulikimbizwa kituo cha afya kibiti akiwa kisha kufa, mwili wakabidhiwa wandugu wa marehemu kwa maziko, na kuzika leo kwa wazazi wake wilaya ya mkuranga,
kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa pwani RPC Ulich onesful matei amesibitisha kutoka kwa kifo cha marehemu David chaften chuma
BALOZI MATINYI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA BIASHARA KATI
YA NCHI ZA NORDIC NA AFRIKA JIJINI OSLO
-
Balozi Mobhare Matinyi akizungumza na Mwakilishi wa kampuni ya nishati ya
CAMBI ya Norway barani Afrika, Gary Brown, jijini Oslo, pembezoni mwa
Mkutano ...
Dakika 51 zilizopita
Blogger Comment