 |
waziri DR,Shukuru Kawambwa akifunga mafunzo. |
Serikali imesema kuwa na pamoja na kukabiliwa na changamoto mbalimbali katika secta ya elimu inawajibu wa kuendeleza secta hiyo kwa kuwaongezea uwezo watendaji ili waendane na kazi na maendeleo ya elimu nchini kutokana warsha mbalimbali na mafunzo yanayo tolewa na serikali.Mafunzo hayo ya wiki tatu yalitolewa na ofisi ya waziri mkuu TAMISEMI kwa lengo la kuwajengea uwezo maafisa elimu vifaa na takwimu(SLOs)na Maafisa elimu taaluma(DAOs) ili kukabiliana na majanga pindi yanapotokea.
 |
Dr Siston MasanjaMkurugenzi mtendaji chuo cha ADEM Bagamoyo
akiwa amasisha maafisa elimu baada ya kuitimu mafunzo yaelimu
ya majanga |
jumla ya wahitimu maafisa elimu 639 kutoka mkoa yote wameuzuria mafunzo hayo yaliyo fanyika wilaya ya bagamoyo mkoani pwania
 |
Maafisa elimu walio hitimu elimu ya majanga | | | | | | |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
About
SDM PRODUCTION MEDIA
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Blogger Comment