Katika kuunga mkono jitahda za serikali katika kuendeleza elimu ya awali nchini, shirika la
NILOMAKI kwa kushirikiana na Vyuo vya elimu ya juu nchini lina fanya utafiti wa njia mpya ya ufundishaji watoto wadogo kwa kutumia simu za mkononi unao itwa
Grapho game
Teknologia hii ya ufundishaji imeonyesha mafanikio makubwa nchini Finland na na dhumuni lake la kusambaza mafanikio haya duniani kote taratibu wameanza kuingia barani afrika wakianzia nchini kenya,zambia,na tanzania
|
Mwl.mkuu Joyce Haule |
tecknologia iliyo tumika katika kutengeneza grapho game kiswahili imefanikiwa kuteka akili za watoto hawa wanaotumia mchezo huu na kujikuta wakitumia muda mwingi bil kuchoka
|
mwanafunzi akionekana kufurahia elimu hiyo ya grapho game |
|
afisa elimu wilaya ya bagamoyo Abdul Buheti |
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
Blogger Comment