Huu ndio ujio mpya wa Benjamini wa Mambo Jambo



MWANAMUZIKI Benjamin wa Mambo Jambo ameamua kuvunja ukimya akijiandaa kurudi kwa kishindo na ngoma mpya inayofahamika kama Kata K. Mwanamuziki huyo amebainisha kuwa alikuwa masomoni kiasi cha kushindwa kuwashushia mashabiki wake burudani zilizozoeleka, ila kwa sasa amewataka mashabiki hao kaeni mkao wa kula kwani amerejea kimoja katika 'game'.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List