Isere Sports yapokea mali mpya ya vifaa vya michezo




 Ofisa mauzo wa Isere Sports, Rasul Nkusa akionesha aina ya mpira na raba mpya zilizowasili nchini
Hizi ni baadhi ya truck Suits zilizowasili Isere Sports

Meneja Masoko wa Isere Sports, Abas Isere akionesha skafu na kofia za bendera ya taifa zilizowasili nchini
Hizi ni baadhi ya jezi zilizowasili kwa ajili ya kuusambaza kwa wadau wa michezo Tanzania na nje ya nchi kulia ni Ofisa Masoko Msaidizi, Ismail Bura.

Na Mwandishi Wetu

KAMPUNI ya Isere Sports inayoagiza na kuuza vifaa vya michezo nchini imepokea shehena kubwa ya mali mpya ya vifaa vya michezo kutoka Dubai na China.

Mkurugenzi wa Michezo wa Isere Sports, Abas Isere alisema jana kuwa vifaa hivyo vyenye ubora unaokubalika vimewasili na tayari vimeanza kusambazwa kwenye ofisi zao zilizopo mtaa wa Mchikichi na Living Stone, Karikaoo na jingine la Dodoma.

Alisema vifaa vilivyowasili ni truck suits za rangi mbalimbali, jezi za mpira wa miguu, netiboli, wavu, basketi ambavyo vyote vinauzwa kwa bei nafuu na kutoa wito kwa maofisa kutoka taasisi mbalimbali za Serikali kutoa oda zao mapema.

Vifaa vingine vilivyowasili ni matufe, mikuki, visahani, vikombe, mipira ya michezo yote, raba za michezo, viatu vya mpira na vingine vingi ambavyo vinafaa kutumika kwenye mashindano mbalimbali nchini.Kwa mawasiliano zahusiana na vifaa vya michezo mbalimbali wasiliana na 0713241470
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List