Aliyekuwa Mtangazaji wa Radio One Omari Katanga leo amejiunga rasmi na 93.7 EFM akifuata nyayo za pacha wake Kitenge . Saa
moja iliyopita EFM katika page yake ya twitter waliandika kuwa
wamemsainisha mtangazaji wa zamani wa Radio One kujiunga na Radio yao.
baada ya siku mbili zilizopita mtangazaji mahiri wa habari za michezo
nchini Maulid Kitenge kujiunga na EFM.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni