WAANDISHI WA HABARI KUPATIWA MAFUNZO KUHUSU GASI,MAFUTA NA MADINI ILI KUEPUSHA UPOTOSHAJI WA HABARI

Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wapatiwa mafunzo ya kuhusu masuala ya ya gasi,mafuta na madini ili waweze kuandika habari sahihi za kuelimisha wananchi.Waandishi hao wamefundishwa kujua mikataba,sheria na maswala ya mazingira.

Hii inatokana na sekta ya madini kuwa na ugeni katika fani ya uandishi nchini hivyo juhudi za kuhakikisha waandishi wa habari wanatoa taarifa sahihi zitakazoweza kusaidia hata utunzaji wa mazingira na kuepusha migogoro na Serikali inayotokana na sekta ya madini.

Mkurugenzi wa T.P.D.C .anayefahamika kwa jina la DR,Emma.S.Msaky amewataka waandishi kutumia kalamu zao kuandika habari za Gasi asilia na kuelezea ubora wake pamoja na usalama kwa matumizi ya jamii ili kukuza uchumi wa Tanzania.DR.Emma.S.Msaky ametoa rai kwa wananchi kuandika habari sahihi na kuepusha uchochezi ili kutoa fursa kwa sekta ya madini kusaidia kukuza uchumi wa Taifa.Pia aliongeza Waandishi waliopatiwa mafunzo wanatakiwa kuwa mabalozi wazuri kwa waandishi wenzao.

Waandishi kumi waliopatiwa mafunzo kwa mda wa miezi sita ,lengo ni kuwa mafunzo endelevu ili kusaidia uelewa juu ya sekta ya madini nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa T.P.D.C  DR.EMMA.S.MSAKY

Mkurugenzi wa mfuko wa vyombo vya Habari Tanzania ndugu,Ernest Sungura

Waandishi wa habari wakipokea vyeti vya ushiriki wa mafunzo ya sekta ya madini kwa waandishi wa habari.

Waandishi wa habari wakipokea vyeti vya ushiriki wa mafunzo ya sekta ya madini kwa waandishi wa habari.

Waandishi wa habari wakipokea vyeti vya ushiriki wa mafunzo ya sekta ya madini kwa waandishi wa habari.
                         
                        Waandishi wa habari wakipokea vyeti vya ushiriki wa mafunzo ya sekta ya madini kwa                                                                     waandishi wa habari.
Wataalamu waliwatunikia vyeti washiriki wa mafunzo ya sekta ya madini kwa waandishi wa habari.

Wadau walioshiriki ufungaji wa mafunzo ya sekta ya madini kwa waandishi wa habari.

Picha ya pamoja baada ya kufunga mafunzo kwa waandishi wa habari.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List