WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUATANO WA MAGAVANA WA BENKI YA PTA jijini DAR ES SALAAM.

Waziri mkuu Mh:Mizengo Pinda amefungua Mkutano wa Magavana wa Benki ya PTA jijini Dar es salaam na kuwataka watanzania kuhamasika katika kilimo cha biashara kwa lengo la kukuza uchumi wa Tanzania.

Waziri mkuu amesema kuwa kilimo kina nafasi kubwa ya kukuza uchumi iwapo wazalendo watapata nafasi ya kuwekeza katika kiwanda na  viwanda hivyo kutumia mazao yatokayo kwa wakulima.Amesema ni vema sekt binafsi ikipata nafasi ya kushirikiana kikamirifu na seriakali katika kukuza uchumi wa Tanzania.Pia huu ni wakati wa kuwajali wajasiriamali kwa kuwapatia mitaji kwa riba stahiki ili waweze kujiletea maendeleo endelevu.

Naye waziri wa nchi ofisi ya Rais Uhusiano na Uratibu Stiven Wasira ameelezea mpango mzima wa maendeleo kwa faida ya watanzania.

Benki ya PTA ipo kwa lengo la kusaidia Afrika kuendeleza uchumi kwa wananchi wa kawaida pamoja na sekta zinazofanya kazi kubwa za kukuza uchumi pamoja na utoaji wa riba nafuu kwenye mikopo nchini.

Waziri mkuu Mh:Mizengo Pinda akifanya mahojiano na waandishi wa habari baada kumaliza ufunguz wa mkutano wa magavana wa Benki ya PTA jijini Dar es salaam.

Waziri mkuu Mh:Mizengo Pinda akifanya mahojiano na waandishi wa habari baada kumaliza ufunguzi wa mkutano wa magavana wa Benki ya PTA jijini Dar es salaam.

Wadau wa maendeleo walioshiriki katika mkutano wa Magavana wa Benki wa  Benki ya PTA jijini Dar es salaam.

Wadau wa maendeleo walioshiriki katika mkutano wa Magavana wa Benki wa  Benki ya PTA jijini Dar es salaam.

Wadau wa maendeleo walioshiriki katika mkutano wa Magavana wa Benki wa  Benki ya PTA jijini Dar es salaam.

Meza kuu siku  ya ufunguzi wa mkutano wa Magavana wa Benki wa  Benki ya PTA jijini Dar es salaam.
  

Waziri mkuu Mh:Mizengo Pinda akifungua mkutano wa Magavana wa Benki wa  Benki ya PTA jijini Dar es salaam.

Wadau wa maendeleo walioshiriki katika mkutano wa Magavana wa Benki wa  Benki ya PTA jijini Dar es salaam.

Wadau wa maendeleo walioshiriki katika mkutano wa Magavana wa Benki wa  Benki ya PTA jijini Dar es salaam.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List