Kampuni ya Superdol I Trailer Manufacfacture Co.Ltd yazindua Gurudumu jipya na Bora zaidi kwa matumizi ya Mabasi kwa Watanzani


Jamii nchini wameshauriwa kutumia bidhaa bora ya Gurudumu imara kwa Mabasi makubwa ya kusafiria abiria kwenye safari ndefu za mikoa mbalimbali pamoja na nchi jirani ili kuhepusha ajari zisizotarajiwa zinazosababishwa na bidhaa feki za Taili wanazotumia baadhi ya Wamiliki wa Mabasi kwa kufata uraisi wa gharama ndogo.

Hayo yameelezwa baada ya Uzinduzi wa Gurudumu la aina ya MICHELIN X.COACH.TROPIC Z 315/80R22.5  zinazohuzwa na Kampuni ya Superdol I Trailer Manufacfacture Co.Ltd iliyopo jijini Dar Es salaam kila mmoja anatakiwa kuwa muhaminifu katka hali ya kuchukua abiria  wawepo kwenye hali iliyokuwa salama.

.Dr Felix Mwakyembe Waziri wa miundombinu aliweza kuzindua Gurudumu ilo la MICHELIN .X.COACH.TROPIC Z 315/80R22.5 ambapo aliweza kuwapongeza Kampuni ya Superdoll kuwa na bidhaa zilizokuwa bora zenye uwezo wa Kimataifa ,unapokuwa na bidhaa ya Gurudumu za basi hizo una huwakika na mwendo wa safari kuwa salama kwa abiria.

Dr Felix Mwakyembe Waziri wa miundombinu amewataka Wamiliki wa Mabus watumie Magurudumu ya MICHELIN. X.COACH.TROPIC Z.315/80R22.S  kwakuwa bidhaa hiyo ni bora hata baadhi ya Wamiliki wanaotambulika nchini wanatumia bidhaa hizo huwa magari yao hayapati ajari za mara kwa mara kampuni hizo ni DAR EXPRESS CO.LTD  pamoja na Kampuni ya ABOOD BUSS SERVICE, huku akiwatupilia lawama kwa wale wamiliki wasio jari abiri wao kwa kutumia bidhaa zisizokuwa na kiwango ili wapate faida kubwa.

Dr Felix Mwakyembe Waziri wa miundombinu amewataka Sumatra kuwajibika katika swala la kusimamia Mafuta,kwani jambo ilo limekuwa ni kelo nchni kwa wamiliki wa vyombo vya moto,walifatilie ili uchumi uweze kuongezeka kwa fanyabiashara wa vyombo vya Moto.


Mmiliki wa Kampuni ya DAR EXPRESS CO.LTD  bwana Yudika Mremi  mteja wa Gurudumu la MICHELIN  kwa muda wa miaka 10 amekuwa mnunuzi wa Gurudumu la MICHELIN ambapo amekuwa mteja mzuri wa Superdol ,lakini amesema tatizo kubwa wamiliki wa Mabus wanashindwa kununua kutokana na bei kuwa na gharama kubwa kushindwa kumudu gharama hiyo.

Bwana Mremi ameomba kwa serikali isadie kupunguza bei ya bidhaa hizi kwa kuwa punguzia ushuru wafanyabiashara ili waweze nao kuuza kwa gharama nafuu kila mmoja aweze kumudu kununua Gurudumu hizo. 
Wadau wa Miundombinu na Usalama wa Barabara wakiwa katika Uzinduzi wa Gurudumu la aina ya MICHELIN X.COACH.TROPIC Z 315/80R22.5  zinazohuzwa na Kampuni ya Superdol I Trailer Manufacfacture Co.Ltd
 Uzinduzi wa Gurudumu la aina ya MICHELIN X.COACH.TROPIC Z 315/80R22.5  zinazohuzwa na Kampuni ya Superdol I Trailer Manufacfacture Co.Ltd

Mmiliki wa Kampuni ya DAR EXPRESS CO.LTD  bwana Yudika Mremi  mteja wa Gurudumu la MICHELIN  kwa muda wa miaka 10

Meza kuu ya Wadau walioshiriki siku ya  Uzinduzi wa Gurudumu la aina ya MICHELIN X.COACH.TROPIC Z 315/80R22.5  zinazohuzwa na Kampuni ya Superdol I Trailer Manufacfacture Co.Ltd

Baadhi ya Magurudumu bora zaidi Tanzania toka Kampuni hiyo yakionyeshwa siku ya  Uzinduzi wa Gurudumu la aina ya MICHELIN X.COACH.TROPIC Z 315/80R22.5  zinazohuzwa na Kampuni ya Superdol I Trailer Manufacfacture Co.Ltd

Wadau wa Miundombinu na Usalama wa Barabara walioudhuria Uzinduzi wa Gurudumu la aina ya MICHELIN X.COACH.TROPIC Z 315/80R22.5  zinazohuzwa na Kampuni ya Superdol I Trailer Manufacfacture Co.Ltd

Picha ya Pamoja kabla ya Uzinduzi wa Gurudumu la aina ya MICHELIN X.COACH.TROPIC Z 315/80R22.5  zinazohuzwa na Kampuni ya Superdol I Trailer Manufacfacture Co.Ltd


Mmiliki wa Abood bus service akipewa tuzo ya ununuzi wa Magurudumu bora ya MICHELIN

Wadau wa Miundombinu na Usalama wa Barabara walioudhuria Uzinduzi wa Gurudumu la aina ya MICHELIN X.COACH.TROPIC Z 315/80R22.5  zinazohuzwa na Kampuni ya Superdol I Trailer Manufacfacture Co.Ltd

Dr Felix Mwakyembe Waziri wa miundombinu 







Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List