Chama cha Mapinguzi Ilala na Kinondoni wakiwa katika vikao na mkutano wakuangalia miradi ya maendeleo mbalimbali iliyotokelezwa pamoja na kukosowa kwa viongozi binafsi pamoja na watendaji wasikuwa waaminifu na kuwachukulia hatua ya kisheria

Chama cha mapinduzi manispaa ya Ilala kimewaonya viongozi wa chama na Serikali wilayani humo walioshindwa kutekelea vema miradi iliyopo kwenye Ilani yake ya Uchaguzi ya mwaka 2010,Huku kikihaahidi kuwachukulia hatua za kisheria kwa kushindwa kufanya hivyo.

Mbunge wa jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu amesema swala la viongozi wababe wanaokwamisha maendeleo kwa manufaa yao binafsi  hawata wafumbia macho kwa manspaa ya Ilala kwa kuwa ni tatizo kubwa la maendeleo kwa jamii lazima kuwahonya bila kuwafumbia macho,kwa kuwa wananchi wanyonge wanaendelea kupata shida.

Naye Diwani wa kata ya Vingunguti Asaa Simba amesema manspaa hiyo bado inakabiliwa na tatizo kubwa la usafi wa Mazingira ametoa wito kwa vyombo husika wasamamie vizuri kwa kuwa uchafu   utaatalisha afya bora kwa Wananchi,viongozi huwezi tawala watu wasio salama kiafya.

Kwa upande mwingine chama cha mapinduzi kata ya Ndugumbi wilaya ya Kinondoni wamekuwa na mkutano mkubwa wa hadhara kwa Wananchi kuangalia Irani ya CCM utekelezaji wa maendeleo kwa jamii.

Mbunge wa jimbo la kinondoni Iddy Azan amesema Serikali imejipanga vizuri kutatua tatizo la maji kwa kuboresha miundombinu iliyopo ni chakavu pia aikidhi mahitaji kwa Wananchi kwa kuwa Idadi ya watu imeongezeka kwa Kiwango kikubwa ukilingalia na Idadi ya watu waliokuwepo zamani ni wachache wakijenga miundombinu hiyo.

Baadhi ya viongozi waliodhuria mkutano huo wamesikitishwa na baadhi ya watu wanao  pinga katiba mpya kwa kuwa waliomba ibadilishe,pia baadhi ya wazazi na walimu wanaokwamisha maendeleo ya Elimu kwa Manufaa yao binafsi na sio taifa.


 Serikali imejipanga kutekeleza miradi ya maendeleo nchini ikiwepo Maji,Elimu,Afya,Kilimo,Miundombinu ya Barabara pamoja na maswala ya ujasiriamali kwa wananchi miradi hiyo kwa utekelezaji ikisimamiwa na Chama cha mapinduzi.
                           
Mbunge wa jimbo la Ilala Mh.Mussa Azzan Zungu
Diwani wa Kata ya Vingunguti Mh.Asaa Simba

Wajumbe wa Balaza la Halmashauri kuu ya Wilaya ya Ilala.

Wajumbe wa Balaza la Halmashauri kuu ya Wilaya ya Ilala.

Wajumbe wa Balaza la Halmashauri kuu ya Wilaya ya Ilala.

Wajumbe wa Balaza la Halmashauri kuu ya Wilaya ya Ilala.

Wajumbe wa Balaza la Halmashauri kuu ya Wilaya ya Ilala.

Viongozi wa CCM wilaya ya Ilala wakisimamia Mkutano wa Halmashauri kuu Wilaya ya Ilala.

Viongozi wa CCM wilaya ya Ilala wakisimamia Mkutano wa Halmashauri kuu Wilaya ya Ilala.

Viongozi wa CCM wilaya ya Ilala wakisimamia Mkutano wa Halmashauri kuu Wilaya ya Ilala.

Msanii wa Sanaa akionyesha umahiri wa kucheza na Nyoka. 

Viongozi wa CCM wakiwa katika mkutano wa hadhara kuelezea utekelezaji wa Irani ya CCM Kata ya Ndugumbi.

Wanachama wa CCM wakifatilia mkutano kwa makini.

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni Mh.Salum Madenge akisaini baada ya kuingia kwenye mkutano.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mh.JOSEPH KINESI akimnadi Kamanda wa Vijana


Viongozi wa CCM wakiwa katika mkutano wa hadhara kuelezea utekelezaji wa Irani ya CCM Kata ya Ndugumbi.


Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Mh:Joseph Kines

Diwani wa kata ya Ndugumbi Mh:Lucas Mgonja.

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Mh.Iddy Azzan



Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List