NHIF WATOA MSAADA WA MASHUKA KWA AJILI YA HOSPITALI YA VIJIBWENI

Wakati  mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa,NHIF ukiongeza jitihada za kukabiliana na changamoto za upungufu na dawa na vifaa tiba,changamoto nyingine ya kutokuwepo kwa motisha ya wataalamu wa Tiba  kunaweza kuchangia kuondoa ari ya wataalamu hao kiutendaji.

Hali hii,iwapo haitadhibitiwa inaweza kuathiri utoaji wa Huduma,Hata kama kutakuwepo na vifaa vya kutosha kwenye vituo vya huduma za afya.

Mfuko wa Bima ya afya,umekuwa ukiongeza huduma zinazowesha  upatikanaji wa tiba kuwa rahisi zaidi kwa kila mwanannchi ingawa changamoto hii,Ya motisha inatajwa kuwa kikwazo kingine kwenye utendaji.

Serikali inaombwa kulinganisha ili kwa namna ya kipekee ili kuwawezesha wataalamu wa tiba kujituma zaidi huku NHIF yenyewe ikivitaka vituo vya tiba kuhakikisha vinatumia vyema Huduma zake katika kujiongezea dawa na vifaa Tiba .

Dr  Frank Lekei (Mkurugenzi wa Tiba na masuala ya kiufundi NHIF)Ameyasema alipokuwa akitoa msaada  wa mashuka 150 toka NHIF hospitali ya vijibweni iliyokuwa ikikabiliwa na upungufu wa mashuka kwa kipindi cha miezi mnne sasa.

Dr Emmanuel Bwana(Mgaga Mfawidhi hospitali ya vijibweni),Changamoto bado inatolewa kwa wananchi kujiung na mfuko wa Bima ya afya wenye Huduma mbalimbali ili kujihakikishia uwezekano wa kupata Huduma,Kwa kipindi chochote cha ugonjwa.


Hospitali hiyo inayopokea wagonjwa 450 hadi 500 kwa siku unakabiliwa pia na upungufu mkubwa wa Dawa na vifaa Tiba hivyo kuomba wahisani kuendelea kuisaidia ili kunusuru kaya nyingi zinazotegemea huduma zake.
Waaguzi na Waganga  wa hospitali ya vijibweni wakionyesha mashuka ambayo wamepatiwa na shirika la NHIF

Waaguzi na Waganga  wa hospitali ya vijibweni wakionyesha mashuka ambayo wamepatiwa na shirika la NHIF

Diwani wa kata ya Vijibweni Mh:Suleiman Matthew

Dr Emmanuel Bwana(Mgaga Mfawidhi hospitali ya vijibweni)

Mgonjwa anayepatiwa matibabu katika Hospitali ya Vijibweni.

Dr  Frank Lekei (Mkurugenzi wa Tiba na masuala ya kiufundi NHIF)

Juma Mkenga(Naibu Meya-Temeke)

Viongozi wa Serikali,Wauguzi,Waganga na Wataalamu toka NHIF wakati wa makabidhiano wa msaada mashuka ndani ya Hospitali ya Vijibweni.

Viongozi wa Serikali,Wauguzi,Waganga na Wataalamu toka NHIF wakati wa makabidhiano wa msaada mashuka ndani ya Hospitali ya Vijibweni.

Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List