WATANZANIA HILI NI FUNZO KWA SIKU ZA USONI


Idadi ya vifo vya majeruhi  walioungua moto kutokana na ajali ya moto iliyotokea Mbagara Jijini Dar es salaam,Usiku wa kuamkia Jumanne hii imeongezeka na kufikia watu 4 Huku hali za majeruhi wengine 11 waliolazwa hospitali ya taifa Muhimbili zikielezwa kuwa si za kulizisha.

Majeruhi waliofikishwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya Kuhamishiwa  kutoka Hospitali ya Temeke walikuwa 15 na hadi sasa ni majeruhi 11 tu ndo wanaendelea kupata  matibabu.

Majeruhi hao 11 wamerazwa kwenye wodi 23 ya sewahaji maalum kwa ajili ya majeruhi walioungua huku uongozi wa Hospitali ukikili kuwa kwa Hali za majeruhi hao ambao wengi wameungua kwa zaidi ya asilimia 40 ya miili yao ikiwa si ya kulizisha.

Doris Ishenda (afisa uhusiano MNH) amewaonya baadhi ya wananchi kuhusiana na matukio kama hayo ambacho wananchi hukimbilia eneo la ajali ili kupata chochote.


Bado hakuna taarifa ya kuwepo kwa vifo vingine vilivyotokea nje ya Hospitali kutokana na ajali hiyo ya Moto.
Doris Ishenda (afisa uhusiano MNH)

Doris Ishenda (afisa uhusiano MNH)

Wahanga wa ajali hiyo ya moto ya roli lililopata ajali.

Wahanga wa ajali hiyo ya moto ya roli lililopata ajali.

Wahanga wa ajali hiyo ya moto ya roli lililopata ajali.

Wauguzi wakiendelea kutoa huduma kwa wahanga wa ajali hiyo.

Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List